Jeremiah 6:4-5
4 a“Jiandaeni kwa vita dhidi yake!
Inukeni tumshambulie mchana!
Lakini, ole wetu, mchana unaisha,
na vivuli vya jioni vinazidi kuwa virefu.
5 Kwa hiyo inukeni, tufanye mashambulizi usiku,
na kuharibu ngome zake!”
Copyright information for
SwhKC